Utafiti wa Ramani Kuhusu Uhuru wa Kisanii Tanzania

Survey closed on Nov 10, 2023

Mwaka 1980, Nchi Wanachama wa UNESCO, pamoja na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zilitoa pendekezo kuhusu Hadhi ya Msanii, ambalo lilizitaka Nchi zote Wanachama wa UNESCO kuboresha hali ya kitaaluma, kijamii na kiuchumi ya wasanii. Pendekezo la 1980 bado linafaa leo kama lilipopitishwa kwa mara ya kwanza miongo minne iliyopita .

Kwa kuzingatia historia hiyo, Utamaduni na Maendeleo Afrika Mashariki (CDEA), kupitia Mpango wake wa Utamaduni na Utawala na mradi unaofadhiliwa na Ubalozi wa Norway jijini Dar es Salaam unaoitwa -Kukuza Haki za Wasanii Tanzania unalenga kufanya utafiti wa ramani ili : Kutambua hali ya Uhuru wa Kisanii nchini Tanzania

Survey is currently active
Closed

This survey has ended and is no longer accepting responses.

CEP Logo

The Citizen Engagement Platform CEP main objective is to ensure participation of African citizens in policymaking processes through the provision of access to information as well as facilitating opportunities for interaction, exchanges and ultimately co-creation of solutions and ideas with policymakers through digital and non-digital approaches towards the attainment of Agenda 2063.

SUBSCRIBE TO OUR NEWSLETTER

Receive agenda 2063 updates

2025 Powered by AUDA NEPAD